Tuesday, 9 August 2016

ARUSHA NI KATI KATI YA AFRICA




 kutoka juu hadi chini (kaskazini-kusini) yani kutoka Cairo Misri hadi Captown Africa ya kusini ambapo ni umbali wa kilomita 5,233.5.

 Kwa kutambulika kwake kama kitovu cha utalii nchini, Mkoa wa arusha umejaliwa hali ya hewa murua kwa mimea, wanyama na  watu wenye haiba ya ukarimu pamoja na vivutio vingi vya utalii zikiwemo hifadhi za taifa.
karibu arusha

No comments:

Post a Comment